📘 Program Maisha Baada ya Chuo Kama Civil Engineer/Technician
Program Hii Ni Maalum Kwa Wahitimu Watarajiwa Civil Engineers/Technicians TU!
Kupitia Program Hii Utaenda Kupata Majibu ya Maswali yote yanayokutatiza na Kukunyima RAHA kama Mhitimu Mtarajiwa Kada ya Civil Engineering Ngazi ya (Diploma au Bachelor) Kila Unapowaza Maisha Baada ya Kumaliza Chuo Kama:
- Nitaanzia wapi baada ya kumaliza chuo, kabla sijaajiriwa na sina mtaji?
- Nitaanzia wapi kutengeneza pesa baada ya kumaliza chuo?
- Jinsi ya kutumia elimu yako ya kitaalamu ya "Civil Engineering" kujikwamua kiuchumi.
- Msingi wa kujiajiri moja kwa moja ikiwa ajira za makampuni binafsi na serikali zitakuwa changamoto.
- Nitapata vipi "connections" zitakazonisaidia kupata kazi?
- Jinsi ya kujenga uzoefu utakao kusaidia kupata kazi katika makampuni makubwa.
- Vitu gani vitakavyomfanya mhitimu wa Civil Engineering aweze kuendesha mradi mpaka mwisho kwa ufanisi?
- Itachukua muda gani kujiajiri au kupata ajira kama Civil Engineer/Technician?
- Je, nianze kufanya kazi inayohusiana na taaluma yangu ya Civil Engineering au kazi yeyote itakayopatikana kwa wakati huo?
- Nitaanzaje au nitaanzia wapi kuishi na kufanya kazi katika taaluma yangu ya Civil Engineering?
- Baada ya kumaliza chuo, nitawezaje kupata fursa za kuendeleza taaluma yangu kabla sijapata ajira?
- Tofauti zilizopo kati ya kufanya kazi kwa mkandarasi, Kujiajiri na kuajiriwa serikalini kama “Civil Engineer/Technician”.
- Ni changamoto gani zipo kwenye soko la ajira kwa sasa?
Makala nyingine;
- Fahamu mambo 3 muhimu ya kuzingatia ili kufanikiwa kwenye interview za engineering & construction -TAMISEMI
Vacancy Announcement.
Dar es Salaam Institute of Technology (DIT)
1. TUTORIAL ASSISTANT – (Civil Engineering) – 1 POST
2. TECHNICIAN II (Soil) – 1 POST
3. ARTISAN II (Civil Engineering) - Carpentry – 1 POST
4. ARTISAN II (Civil Engineering) Masonry – 1 POST
5. ARTISAN II (Plumbing) 1 POST
VOCATIONAL EDUCATION AND TRAINING AUTHORITY (VETA)
1. VOCATIONAL TUTOR II – (CIVIL ENGINEERING) – 1 POST
2. VOCATIONAL TEACHER II – (TECHNICAL DRAWING) – 6 POSTS
A signed application letter should be written in Swahili or English and addressed to the following address
Secretary President office,
Public Service Recruitment Secretariat,
P.o.Box 2320,
Dodoma.
If you like this content consider subscribing HERE so you can get notified once we publish more good content like this.
Kufahamu zaidi kuhusu maswali ya Usaili bofya 👉 HAPA
Kuona kazi nyingine zaidi kada ya Engineering and Construction bofya 👉 HAPA
Soma makala nyingine hizi kujifunza zaidi..
Very useful post
ReplyDelete