📘 Program Maisha Baada ya Chuo Kama Civil Engineer/Technician
Program Hii Ni Maalum Kwa Wahitimu Watarajiwa Civil Engineers/Technicians TU!
Kupitia Program Hii Utaenda Kupata Majibu ya Maswali yote yanayokutatiza na Kukunyima RAHA kama Mhitimu Mtarajiwa Kada ya Civil Engineering Ngazi ya (Diploma au Bachelor) Kila Unapowaza Maisha Baada ya Kumaliza Chuo Kama:
- Nitaanzia wapi baada ya kumaliza chuo, kabla sijaajiriwa na sina mtaji?
- Nitaanzia wapi kutengeneza pesa baada ya kumaliza chuo?
- Jinsi ya kutumia elimu yako ya kitaalamu ya "Civil Engineering" kujikwamua kiuchumi.
- Msingi wa kujiajiri moja kwa moja ikiwa ajira za makampuni binafsi na serikali zitakuwa changamoto.
- Nitapata vipi "connections" zitakazonisaidia kupata kazi?
- Jinsi ya kujenga uzoefu utakao kusaidia kupata kazi katika makampuni makubwa.
- Vitu gani vitakavyomfanya mhitimu wa Civil Engineering aweze kuendesha mradi mpaka mwisho kwa ufanisi?
- Itachukua muda gani kujiajiri au kupata ajira kama Civil Engineer/Technician?
- Je, nianze kufanya kazi inayohusiana na taaluma yangu ya Civil Engineering au kazi yeyote itakayopatikana kwa wakati huo?
- Nitaanzaje au nitaanzia wapi kuishi na kufanya kazi katika taaluma yangu ya Civil Engineering?
- Baada ya kumaliza chuo, nitawezaje kupata fursa za kuendeleza taaluma yangu kabla sijapata ajira?
- Tofauti zilizopo kati ya kufanya kazi kwa mkandarasi, Kujiajiri na kuajiriwa serikalini kama “Civil Engineer/Technician”.
- Ni changamoto gani zipo kwenye soko la ajira kwa sasa?
Je, Unajua.? 💭
Chuo kina kampasi mbili;
- Kampasi Kuu (Mbeya mjini)
- Kampasi ya Rukwa.
Chuo kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) kimebase haswa katika kutoa kozi kwenye kada za (Engineering, Science, Teknolojia na Biashara).
Kozi zinazotolewa kwa ngazi ya Diploma katika Chuo Kikuu cha Sayansi Mbeya (MUST).
- Diploma in Business Administration
- Diploma in Business Computing
- Diploma of Business Administration in Accounting and Finance
- Diploma of Business Administration in Marketing and Entrepreneurship
- Diploma in Agribusiness with Technology
- Diploma in Biotechnology
- Diploma in Biomedical Equipment Engineering
- Diploma in Information and Communication Technology
- Diploma in Laboratory Science and Technology
- Diploma in Food Science and Technology
- Diploma in Computer Science
- Diploma in Architecture
- Diploma in Automotive and Auto-electrical Engineering
- Diploma in Civil Engineering
- Diploma in Computer Engineering
- Diploma in Electrical and Electronic Engineering
- Diploma in Electronics and Telecommunication Engineering
- Diploma in Highway Engineering
- Diploma in Mechanical Engineering
- Diploma in Mechanical Engineering with Industrial Safety and Occupational Health
- Diploma in Mechatronic Engineering
- Diploma in Mining Engineering
Vigezo vinavyohitajika ili kupata nafasi ya masomo kwa kozi mbalimbali ngazi ya Diploma katika Chuo Kikuu cha Sayansi Mbeya (MUST).
- Diploma in Automotive and Auto-electrical Engineering
- Diploma in Civil Engineering
- Diploma in Computer Engineering
- Diploma in Electrical and Electronic Engineering
- Diploma in Electronics and Telecommunication Engineering
- Diploma in Highway Engineering
- Diploma in Mechanical Engineering
- Diploma in Mechanical Engineering with Industrial Safety and Occupational Health
- Diploma in Mechatronic Engineering
- Diploma in Mining Engineering
- Diploma in Biomedical Equipment Engineering
Kutumia cheti cha form 4, unatakiwa upate ufaula wa pass (alama D) kwenye masomo yako manne kati ya hayo Physcics/Engineering science, Mathematics, Chemistry lazima mawili ya hayo matatu tajwa hapo lazima yawepo.
Kwa kozi zote za Science na Teknolojia yaani ;-
- Diploma in Agribusiness with Technology
- Diploma in Biotechnology
- Diploma in Information and Communication Technology
- Diploma in Laboratory Science and Technology
- Diploma in Food Science and Technology
- Diploma in Computer Science
- Diploma in Architecture
Kutumia cheti cha form 4, unatakiwa upate ufaula wa pass (alama D) kwenye masomo yako manne sana sana kwenye masomo ya science yaani Physcics/Engineering science, Mathematics, Geography, Biology, Chemistry lazima mawili kati ya hayo masomo tajwa uwe nayo ongeza na English.
Kwa kozi zote za Biashara yaani ;-
- Diploma in Business Administration
- Diploma in Business Computing
- Diploma of Business Administration in Accounting and Finance
- Diploma of Business Administration in Marketing and Entrepreneurship
Kutumia cheti cha form 4, unatakiwa upate ufaula wa pass (alama D) tu kwenye masomo yasiyokuwa ya dini ndani ya hayo manne Mathematics na English ni lazima.
Kufahamu kuhusu ada katika kozi mbalimbali ngazi ya diploma katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) bofya ==> HAPA.
Jinsi ya kufanya maombi Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) bofya ==> HAPA.
Kufahamu zaidi kuhusiana na Fee structure Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) bofya ==> HAPA.
Hitimisho hizo ndizo kozi zinazotolewa katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) ngazi ya diploma na vigezo vinavyohitajika ili upate admission..💥
Sharing is Caring..✌✌
Share kuwafikia watu wengi zaidi na kama unaswali basi unaweza kuuliza kwenye comment section..!!
Unaweza pitia makala hizi nyingine kujifunza zaidi;