📘 Program Maisha Baada ya Chuo Kama Civil Engineer/Technician
Program Hii Ni Maalum Kwa Wahitimu Watarajiwa Civil Engineers/Technicians TU!
Kupitia Program Hii Utaenda Kupata Majibu ya Maswali yote yanayokutatiza na Kukunyima RAHA kama Mhitimu Mtarajiwa Kada ya Civil Engineering Ngazi ya (Diploma au Bachelor) Kila Unapowaza Maisha Baada ya Kumaliza Chuo Kama:
- Nitaanzia wapi baada ya kumaliza chuo, kabla sijaajiriwa na sina mtaji?
- Nitaanzia wapi kutengeneza pesa baada ya kumaliza chuo?
- Jinsi ya kutumia elimu yako ya kitaalamu ya "Civil Engineering" kujikwamua kiuchumi.
- Msingi wa kujiajiri moja kwa moja ikiwa ajira za makampuni binafsi na serikali zitakuwa changamoto.
- Nitapata vipi "connections" zitakazonisaidia kupata kazi?
- Jinsi ya kujenga uzoefu utakao kusaidia kupata kazi katika makampuni makubwa.
- Vitu gani vitakavyomfanya mhitimu wa Civil Engineering aweze kuendesha mradi mpaka mwisho kwa ufanisi?
- Itachukua muda gani kujiajiri au kupata ajira kama Civil Engineer/Technician?
- Je, nianze kufanya kazi inayohusiana na taaluma yangu ya Civil Engineering au kazi yeyote itakayopatikana kwa wakati huo?
- Nitaanzaje au nitaanzia wapi kuishi na kufanya kazi katika taaluma yangu ya Civil Engineering?
- Baada ya kumaliza chuo, nitawezaje kupata fursa za kuendeleza taaluma yangu kabla sijapata ajira?
- Tofauti zilizopo kati ya kufanya kazi kwa mkandarasi, Kujiajiri na kuajiriwa serikalini kama “Civil Engineer/Technician”.
- Ni changamoto gani zipo kwenye soko la ajira kwa sasa?
Kozi zinazotolewa katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) ngazi ya Bachelor Degree na vigezo vinavyohitajika mwaka wa masomo 2024/2025.
Je, wewe ni mwanafunzi uliyehitimu ngazi ya Diploma au Form 6 na unatafuta nafasi ya masomo ngazi ya Bachelor Degree katika kada za Engineering, Science, Teknolojia au Biashara?
Usichokijua kuhusu Chuo kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST).
Chuo kina kampasi mbili;
- Kampasi Kuu (Mbeya mjini)
- Kampasi ya Rukwa.
Chuo kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) kimebase haswa katika kutoa kozi kwenye kada za (Engineering, Science, Teknolojia na Biashara).
Kozi zinazotolewa kwa ngazi ya Bachelor Degree katika Chuo Kikuu cha Sayansi Mbeya (MUST).
- Bachelor of Business Administration
- Bachelor of Civil Engineering
- Bachelor of Computer Engineering
- Bachelor of Electrical Engineering
- Bachelor of Engineering in Telecommunication System
- Bachelor of Mechanical Engineering
- Bachelor of Science in Information and Communication Technology
- Bachelor of Technology in Architecture
- Bachelor of Technology in Landscape Architecture
- Bachelor of Science with Education
- Bachelor of Data Science Engineering
- Bachelor of Laboratory Science and Technology
- Bachelor of Food Science and Technology
- Bachelor of Computer Science
- Bachelor of Science in Natural Resources Conservation
- Bachelor of Agribusiness Management and Technology
- Bachelor of Environmental Science and Technology
- Bachelor of Science in Biotechnology
- Bachelor of Science in Chemistry
- Bachelor of Technical Education in Civil Engineering
- Bachelor of Technical Education in Mechanical Engineering
- Bachelor of Technical Education in Electrical and Electronics Engineering
- Bachelor of Technical Education in Architectural Technology
Vigezo vinavyohitajika ili kupata nafasi ya masomo kwa kozi mbalimbali ngazi ya Bachelor Degree katika Chuo Kikuu cha Sayansi Mbeya (MUST).
- Bachelor of Civil Engineering -> (PCM)
- Bachelor of Computer Engineering -> (PCM)
- Bachelor of Electrical Engineering -> (PCM)
- Bachelor of Engineering in Telecommunication System -> (PCM)
- Bachelor of Mechanical Engineering -> (PCM)
- Bachelor of Data Science Engineering -> (PCM)
Kutumia cheti cha ngazi ya Diploma Unatakiwa Uwe Umepata G.P.A ya 3.0 kulingana na course uliyosomea kwenda ile ile unayotaka kuunga Bachelor, kutokea form 6 unatakiwa upate ufaula wa principal pass mbili (alama D) kwenye masomo ya Physcics na Mathematics.
Kwa kozi zote za Science na Teknolojia yaani ;-
- Bachelor of Science in Information and Communication Technology -> (PCM, CBG, PCB, EGM,PMC, PGE & PGM)
- Bachelor of Technology in Architecture -> (PCM, EGM,PMC & PGM)
- Bachelor of Technology in Landscape Architecture -> (PCB, PCM & PGM)
- Bachelor of Science with Education -> (PCM, CBG, PCB, EGM,PMC & PGM)
- Bachelor of Laboratory Science and Technology -> (CBG & PCB)
- Bachelor of Food Science and Technology -> (PCM, CBG & PCB)
- Bachelor of Computer Science -> (PCM, PMC & PGM)
- Bachelor of Science in Natural Resources Conservation -> (CBG & PCB)
- Bachelor of Agribusiness Management and Technology -> (Masomo ya Science, Art & Biashara)
- Bachelor of Environmental Science and Technology -> (PCM, CBG, PCB, EGM,PMC & PGM)
- Bachelor of Science in Biotechnology -> (PCM & PCB)
- Bachelor of Science in Chemistry -> Chemistry lazima tahasusi (PCM, CBG & PCB)
Kutumia cheti cha ngazi ya Diploma Unatakiwa Uwe Umepata G.P.A ya 3.0 kulingana na course uliyosomea kwenda ile ile unayotaka kuunga Bachelor, kutokea form 6 unatakiwa upate ufaula wa principal pass mbili (alama D) kwenye tahasusi nilizoorodhoshe mbele hapo.
Kwa kozi zote za Biashara yaani ;-
- Bachelor in Business Administration -> Masomo ya Art, Science, Language na Biashara
Kutumia cheti cha ngazi ya Diploma Unatakiwa Uwe Umepata G.P.A ya 3.0 kulingana na course uliyosomea kwenda ile ile unayotaka kuunga Bachelor, kutokea form 6 unatakiwa upate ufaula wa principal pass mbili (alama D) kwenye masomo ya Art, Science, Language na Biashara.
Kwa kozi zote za Technical Education yaani ;-
- Bachelor of Technical Education in Civil Engineering -> (PCM, CBG, PCB, EGM,PMC & PGM)
- Bachelor of Technical Education in Mechanical Engineering -> (PCM, CBG, PCB, EGM,PMC & PGM)
- Bachelor of Technical Education in Electrical and Electronics Engineering -> (PCM, CBG, PCB, EGM,PMC & PGM)
- Bachelor of Technical Education in Architectural Technology -> (PCM, CBG, PCB, EGM,PMC & PGM)
Kutokea form 6 unatakiwa upate ufaula wa principal pass mbili (alama D) kwenye masomo ya science .
Kufahamu kuhusu ada katika kozi mbalimbali ngazi ya diploma katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) bofya ==> HAPA.
Jinsi ya kufanya maombi Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) bofya ==> HAPA.
Kufahamu zaidi kuhusiana na Fee structure Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) bofya ==> HAPA.
Hitimisho hizo ndizo kozi zinazotolewa katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) ngazi ya Bachelor Degree na vigezo vinavyohitajika ili upate admission..💥
Sharing is Caring..✌✌
Share kuwafikia watu wengi zaidi na kama una swali basi unaweza kuuliza kwenye comment section..!!
Unaweza pitia makala hizi nyingine kujifunza zaidi;