Nafasi 4 za Kazi Civil technician, Shirika la Reli (TRC) - July 2024

📘 Program Maisha Baada ya Chuo Kama Civil Engineer/Technician

Program Hii Ni Maalum Kwa Wahitimu Watarajiwa Civil Engineers/Technicians TU!

Kupitia Program Hii Utaenda Kupata Majibu ya Maswali yote yanayokutatiza na Kukunyima RAHA kama Mhitimu Mtarajiwa Kada ya Civil Engineering Ngazi ya (Diploma au Bachelor) Kila Unapowaza Maisha Baada ya Kumaliza Chuo Kama:

  1. Nitaanzia wapi baada ya kumaliza chuo, kabla sijaajiriwa na sina mtaji?
  2. Nitaanzia wapi kutengeneza pesa baada ya kumaliza chuo?
  3. Jinsi ya kutumia elimu yako ya kitaalamu ya "Civil Engineering" kujikwamua kiuchumi.
  4. Msingi wa kujiajiri moja kwa moja ikiwa ajira za makampuni binafsi na serikali zitakuwa changamoto.
  5. Nitapata vipi "connections" zitakazonisaidia kupata kazi?
  6. Jinsi ya kujenga uzoefu utakao kusaidia kupata kazi katika makampuni makubwa.
  7. Vitu gani vitakavyomfanya mhitimu wa Civil Engineering aweze kuendesha mradi mpaka mwisho kwa ufanisi?
  8. Itachukua muda gani kujiajiri au kupata ajira kama Civil Engineer/Technician?
  9. Je, nianze kufanya kazi inayohusiana na taaluma yangu ya Civil Engineering au kazi yeyote itakayopatikana kwa wakati huo?
  10. Nitaanzaje au nitaanzia wapi kuishi na kufanya kazi katika taaluma yangu ya Civil Engineering?
  11. Baada ya kumaliza chuo, nitawezaje kupata fursa za kuendeleza taaluma yangu kabla sijapata ajira?
  12. Tofauti zilizopo kati ya kufanya kazi kwa mkandarasi, Kujiajiri na kuajiriwa serikalini kama “Civil Engineer/Technician”.
  13. Ni changamoto gani zipo kwenye soko la ajira kwa sasa?
Bofya Hapa Kupata Program

The Tanzania Railways Corporation (TRC) is a state-owned enterprise that runs one of Tanzania's two main railway networks. the Headquarters are located in Mchafukoge, Ilala District, Dar es Salaam Region.

[Image Credit: TRC - (source: https://www.trc.co.tz)]

Shirika la Reli Tanzania, ni shirika lililoundwa chini ya Sheria ya Reli Namba 10 ya mwaka 2017 kwa lengo kuu la kutoa huduma ya usafiri bora na uhakika wa reli, Kusimamia, kuendeleza na kuhakikisha ulinzi na usalama wa miundombinu ya reli nchini Tanzania.

Shirika limekuwa likiongeza miundombinu mingi ikiwa ni pamoja na kuongeza vituo vya Treni ya umeme linahitaji wataalamu wengi kwa ajili ya kusimamia shughuli mbalimbali za ujenzi wa miundombinu ya reli.

Shirika limetoa fursa za kazi kwa Civil technicians wanne soma yafuatayo chini hapa..

Job Description

Post: CIVIL TECHNICIAN - 4 POST

Employer: Tanzania Railway Corporation (TRC)

Application timeline: 22-06-2024 to 05-07-2024

Duties and Responsibilities: 

i. To undertake maintenance of bridges, culverts, building and track works; ii. To read and review project drawings and plans to determine the sizes of structures; iii. To prepare track maintenance plans and submit the same to Supervisor; iv. To take part in testing construction materials and soil samples in laboratories; v. To ensure that project construction conforms to design specifications and applicable permanent way requirements; and vi To perform any other duties as may be assigned by supervisor

Academic Qualifications and Experience:

Holder of Full Technician Certificate (FTC) Or Ordinary Diploma in Civil Engineering/Technology, Track Technology, Bridge Construction or Equivalent from Recognized Institution.


A signed application letter should be written in Swahili or English and addressed  to the following address

Secretary President office,
Public Service Recruitment Secretariat,
P.o.Box 2320,
Dodoma.

If you like this content consider subscribing HERE so you can get notified once we publish more good content like this.

For more interview questions click 👉 here

For government job vacancies in engineering and construction field click 👉 here 

Read also;

2 Comments

Previous Post Next Post

Contact Form