📘 Program Maisha Baada ya Chuo Kama Civil Engineer/Technician
Program Hii Ni Maalum Kwa Wahitimu Watarajiwa Civil Engineers/Technicians TU!
Kupitia Program Hii Utaenda Kupata Majibu ya Maswali yote yanayokutatiza na Kukunyima RAHA kama Mhitimu Mtarajiwa Kada ya Civil Engineering Ngazi ya (Diploma au Bachelor) Kila Unapowaza Maisha Baada ya Kumaliza Chuo Kama:
- Nitaanzia wapi baada ya kumaliza chuo, kabla sijaajiriwa na sina mtaji?
- Nitaanzia wapi kutengeneza pesa baada ya kumaliza chuo?
- Jinsi ya kutumia elimu yako ya kitaalamu ya "Civil Engineering" kujikwamua kiuchumi.
- Msingi wa kujiajiri moja kwa moja ikiwa ajira za makampuni binafsi na serikali zitakuwa changamoto.
- Nitapata vipi "connections" zitakazonisaidia kupata kazi?
- Jinsi ya kujenga uzoefu utakao kusaidia kupata kazi katika makampuni makubwa.
- Vitu gani vitakavyomfanya mhitimu wa Civil Engineering aweze kuendesha mradi mpaka mwisho kwa ufanisi?
- Itachukua muda gani kujiajiri au kupata ajira kama Civil Engineer/Technician?
- Je, nianze kufanya kazi inayohusiana na taaluma yangu ya Civil Engineering au kazi yeyote itakayopatikana kwa wakati huo?
- Nitaanzaje au nitaanzia wapi kuishi na kufanya kazi katika taaluma yangu ya Civil Engineering?
- Baada ya kumaliza chuo, nitawezaje kupata fursa za kuendeleza taaluma yangu kabla sijapata ajira?
- Tofauti zilizopo kati ya kufanya kazi kwa mkandarasi, Kujiajiri na kuajiriwa serikalini kama “Civil Engineer/Technician”.
- Ni changamoto gani zipo kwenye soko la ajira kwa sasa?
Mbeya University of Science and Technology (MUST)
Mbeya University of Science and Technology (MUST) is a result of the transformation of the Mbeya Institute of Science and Technology (MIST) through the Universities Act No.7 (2005) and Charter of Mbeya University of Science and Technology, 2013 with the aim of becoming the leading Centre of excellence for knowledge, skills and applied education in science and technology.
Vacancy Announcement.
Mbeya University of Science and Technology (MUST) invites dynamic and suitable qualified Tanzanians to fill six (6) contract vacant posts for supervising construction projects of VETA Colleges.
[Image Credit: Mbeya University of Science and Technology (MUST) - (source: https://www.must.ac.tz)]
Estates Officer – (Civil Engineering) – 6 POST
i. Supervising construction projects;
ii. To prepare progress reports of the project;
iii. To conduct site and technical meetings;
iv. Ensures maintenance and cleaning of site properties and environment;
v. Keeps and maintains site materials and equipment in good working order;
vi. Assists in the planning, organizing, implementing and controlling of site activities and services; and
vii. Performs any other duties as may be assigned by supervisor.
i. All applicants must be Citizens of Tanzania;
ii. Applicants must attach an up – to – date or current Curriculum Vitae (CV) having reliable contact postal address, e-mail address and telephone numbers;
iii. Applicants should apply on the strength of the information given in this advertisement;
iv. Applicants must attach their detailed relevant certified copies of Academic certificates:
- Degree/Advanced Diploma Certificates;
- Degree/Advanced Diploma Transcripts;
- Form IV and Form VI National Form IV and Form VI National Examination
Certificates;
- Graduate Registration Certificates from respective boards;
- One recent passport size picture;
- Birth certificate;
- Form IV and Form VI results slips are strictly not accepted;
- Testimonials, Partial transcripts and results slips will not be accepted;
- Registration as Professional Engineer from respective boards will be an added advantage
v. Presentation of forged academic certificates and other information in the CV will necessitate legal action;
vi. Applicants who retired from the Public Service for whatever reason should not apply;
vii. Applicants should indicate three reputable referees with their reliable contacts;
viii. Women are highly encouraged to apply;
ix. Only shortlisted candidates will be informed on the date of interview;
x. Application letters shall be written in English; and
xi. Dead line for application is 08th February, 2025.
APPLICATION LETTERS SHOULD BE POSTED TO THE FOLLOWING ADDRESS;THE VICE CHANCELLOR,MBEYA UNIVERSITY OF SCIENCE AND TECHNOLOGY,P.O.BOX 131,MBEYA.
==> [Graduate Civil Engineers/Technicians Tu]
Je, wewe ni Mhitimu au Mhitimu mtarajiwa Kada ya Uhandisi Ujenzi “Civil Engineering” (Diploma au Degree)?
Umemaliza Masomo yako au Uko kwenye hatua za mwisho za kumaliza, lakini uko katika HOFU KUBWA MNO, WASIWASI kuhusu MAISHA baada ya chuo?!
Bofya Hapa Hii Ni Kwa Ajili Yako ==> https://bit.ly/4g49vbC