New Job Vacancies Conservation Assistant II - Civil Technicians TANAPA, March 2024

📘 Program Maisha Baada ya Chuo Kama Civil Engineer/Technician

Program Hii Ni Maalum Kwa Wahitimu Watarajiwa Civil Engineers/Technicians TU!

Kupitia Program Hii Utaenda Kupata Majibu ya Maswali yote yanayokutatiza na Kukunyima RAHA kama Mhitimu Mtarajiwa Kada ya Civil Engineering Ngazi ya (Diploma au Bachelor) Kila Unapowaza Maisha Baada ya Kumaliza Chuo Kama:

  1. Nitaanzia wapi baada ya kumaliza chuo, kabla sijaajiriwa na sina mtaji?
  2. Nitaanzia wapi kutengeneza pesa baada ya kumaliza chuo?
  3. Jinsi ya kutumia elimu yako ya kitaalamu ya "Civil Engineering" kujikwamua kiuchumi.
  4. Msingi wa kujiajiri moja kwa moja ikiwa ajira za makampuni binafsi na serikali zitakuwa changamoto.
  5. Nitapata vipi "connections" zitakazonisaidia kupata kazi?
  6. Jinsi ya kujenga uzoefu utakao kusaidia kupata kazi katika makampuni makubwa.
  7. Vitu gani vitakavyomfanya mhitimu wa Civil Engineering aweze kuendesha mradi mpaka mwisho kwa ufanisi?
  8. Itachukua muda gani kujiajiri au kupata ajira kama Civil Engineer/Technician?
  9. Je, nianze kufanya kazi inayohusiana na taaluma yangu ya Civil Engineering au kazi yeyote itakayopatikana kwa wakati huo?
  10. Nitaanzaje au nitaanzia wapi kuishi na kufanya kazi katika taaluma yangu ya Civil Engineering?
  11. Baada ya kumaliza chuo, nitawezaje kupata fursa za kuendeleza taaluma yangu kabla sijapata ajira?
  12. Tofauti zilizopo kati ya kufanya kazi kwa mkandarasi, Kujiajiri na kuajiriwa serikalini kama “Civil Engineer/Technician”.
  13. Ni changamoto gani zipo kwenye soko la ajira kwa sasa?
Bofya Hapa Kupata Program

The Tanzania National Parks Authority (TANAPA) is a governmental entity tasked with the oversight and preservation of Tanzania's national parks and conservation areas, as well as the enforcement of pertinent laws and regulations within this sector. Established in 1959, TANAPA operates under various legislative frameworks, including the National Parks Act (Chapter 282 of 2002) and the Wildlife Conservation Act No. 5 of 2009.

[Image Credit: TANAPA - (source: https://www.tanzaniaparks.go.tz)]

TANAPA assumes a pivotal role in the stewardship of the nation's biodiversity, undertaking measures to safeguard and conserve its rich flora and fauna. Notably, it engages in proactive initiatives to protect endangered species such as lions, elephants, rhinos, and cheetahs, employing strategies encompassing anti-poaching endeavors and habitat preservation.

Furthermore, TANAPA is instrumental in promoting responsible tourism, facilitating the provision of infrastructure, visitor services, and park management geared towards delivering a superlative tourist experience while mitigating environmental impact.

Job Description

Post: CONSERVATION ASSISTANT II - CIVIL TECHNICIAN - 2 POST

Employer: Tanzania National Park Authority (TANAPA)

Application timeline: 23-03-2024 to 05-04-2024

Duties and Responsibilities: 

i. Supervising and carrying out construction and maintenance works in the park’ 

ii. Inspecting infrastructures and preparing preventive maintenance schedules; 

iii. Maintaining and updating construction and maintenance records 

iv. Maintaining and updating technical reports, drawings and other documents; 

v. Ensuring acquisition and safety of working gears; 

vi. Preparing relevant drawings, cost estimates and tender documents for projects; 

vii. Maintaining airstrip infrastructure and facilities; and 

viii. Identifying and requesting materials for construction works.

Academic Qualifications and Experience: Diploma or Full Technician Certificate (FTC) in Civil Engineering or equivalent qualifications from a recognized institution. Age limit not above 25 years.


If you like this content consider subscribing HERE so you can get notified once we publish more good content like this.

For more interview questions click 👉 here

For government job vacancies in engineering and construction field click 👉 here 

Read also;

Previous Post Next Post

Contact Form