Hey, Friend Welcome Back Kama Hii Ni Mara yako ya Kwanza na Ni Mgeni Karibu The CivilEngineers Hub Platform Maalum Kwa... (Students, Graduates, Self-employed and Employed) Kada ya Civil Engineering Kujifunza Mambo Mbalimbali Kuhusiana na
- Mbinu za Kufanikiwa za Kutafuta na Kupata Kazi Katika Makampuni Binafsi na Serikalini Kama Civil Engineer/Technician,
- Kujiajiri Kwa Kutumia Taaluma Yako, Kuwekeza Nje na Taaluma Yako, Kutengeneza na Kukuza Kipato Kama Civil Engineer/Technician,
- Ujenzi Kiujumla, Makadirio ya Materials za Ujenzi & Kusimamia Site,
- Ujuzi Mbalimbali Muhimu wa Kitaalamu [Civil Engineers & Technicians] Unaohitajika Kazini,
- Kudeal na Changamoto za Ajira na Kazini [Civil Engineers & Technicians] na
- Mbinu za Kutumia Kusoma na Kufaulu Masomo Mbalimbali Kama Civil Engineering Student
Pia Unapata Maarifa Mbalimbali Katika Masomo ya Civil Engineering, Vitabu, SEAP Reports, Excelsheet Mbalimbali, Matangazo ya Kazi za Civil Engineering, Manuals, Site Documents.
Tembelea Channel Yetu YouTube Bofya Hapa - [The CivilEngineers Hub] Kupata Makala Kama Hizi Kwa Video.
Tuendelee..
Je, Ushawahi Kwenda Site na Ukajikuta Unasimamia Kazi ya Zege Hafu Hujui Uanzie Wapi.?
Hata Mimi ilishawahi Kunikuta Hiyo.. Sasa Ni Kwambia Kitu Kimoja Hakuna Mradi Unaojiendesha Wenye Kila Mradi Unaendeshwa Kwa Kutumia Construction Document Nyingi Ila Muhimu Ziko Tatu Mojawapo ni Specification.
Specification Ndio Construction Document inayokupa wewe Muongozo Utumie Material za Aina Gani, Zenye Ubora Upi.? Na Zitengenezwe Vipi.
Kwaio Hapo Unachotakiwa Kufanya Ni Kutafuta Specification ya Mradi Unaosimamia na Kuangalia Inasema Utumie Zege la Aina Gani na Lenye Vigezo Vipi..
Ila Kwa Kuokoa Muda Unaweza Jifunze Aina Mbalimbali za Zege na Matumizi yake Kupitia Video Hii Hapa Chini.
Hakikisha Unaifatilia Mpaka Mwisho ili Kupata Majibu ya Swali lako Utumie Zege Aina Gani Kwenye Kazi yako.
Kama Utakuwa na Swali Jingine Kuhusiana na Zege [Concrete] Comment Hapo Chini Kwenye Comment Section Na Mimi Nitakujibu.
Kama Umeipenda Makala Hii Unaweza Pia Jifunza Hapa
Jinsi ya Kufanya Hesabu za Nondo Kwa Usahihi Kabla ya Kuagiza, Tizama Hii Hapa Chini Video.
Kama Umependa Hakikisha Unashare na Wengine.
Sharing is Caring..✌✌
It's me your friend Tony Mbugi (Civil Engineer, Author [2 Books], Lecturer [MUST], Tutor [Udemy], Content Creator).
Check it Now Maisha Baada ya Chuo Civil Engineer/Technician Course - https://shorturl.at/buoNB